Swali: Kipi kinachomlazimu mtu ambaye ameishiliwa ikiwa amekwishahii hajj ya faradhi?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu. Aendelee tu. Ikiwezekana kwake kuendelea, basi aendelee. Ikiwa haiwezekani, basi atachinja, atanyoa au kufupisha nywele na kutoka kwenye Ihraam. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoishiliwa hawakuambiwa kuwa wanalazimika kufanya ´Umrah peke yake. Bali aliwaamuru wachinje, wanyoe au wafupishe na watoke kwenye Ihraam. Halafu akafanya ‘Umrah mwaka uliofuata. Aliita ´Umrah ya kulipa´, lakini hakumlazimisha yeyote kati ya watu kuilipa. Aliifanya ‘Umrah na wale walioweza kuifanya. Haijathibitika kwamba alimuwajibisha yeyote kuilipa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25032/ماذا-يجب-على-المحصر-اذا-كان-قد-حج-الفريضة
- Imechapishwa: 25/01/2025
Swali: Kipi kinachomlazimu mtu ambaye ameishiliwa ikiwa amekwishahii hajj ya faradhi?
Jibu: Hakuna kinachomlazimu. Aendelee tu. Ikiwezekana kwake kuendelea, basi aendelee. Ikiwa haiwezekani, basi atachinja, atanyoa au kufupisha nywele na kutoka kwenye Ihraam. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoishiliwa hawakuambiwa kuwa wanalazimika kufanya ´Umrah peke yake. Bali aliwaamuru wachinje, wanyoe au wafupishe na watoke kwenye Ihraam. Halafu akafanya ‘Umrah mwaka uliofuata. Aliita ´Umrah ya kulipa´, lakini hakumlazimisha yeyote kati ya watu kuilipa. Aliifanya ‘Umrah na wale walioweza kuifanya. Haijathibitika kwamba alimuwajibisha yeyote kuilipa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25032/ماذا-يجب-على-المحصر-اذا-كان-قد-حج-الفريضة
Imechapishwa: 25/01/2025
https://firqatunnajia.com/ambaye-amekatikiwa-ilihali-kishafanya-hajj-ya-kwanza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)