Swali: Inafaa kwa muislamu kuswali ndani ya kanisa ambayo ndani yake kuna misalaba na picha zinazodaiwa kuwa eti ni al-Masiyh (´alayhis-Salaam)?
Jibu: Ndio. Lakini asizielekee hizo picha. Hakuna neno akaswali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 19/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)