Swali: Inafaa kwa muislamu kuswali ndani ya kanisa ambayo ndani yake kuna misalaba na picha zinazodaiwa kuwa eti ni al-Masiyh (´alayhis-Salaam)?
Jibu: Ndio. Lakini asizielekee hizo picha. Hakuna neno akaswali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 19/05/2019
Swali: Inafaa kwa muislamu kuswali ndani ya kanisa ambayo ndani yake kuna misalaba na picha zinazodaiwa kuwa eti ni al-Masiyh (´alayhis-Salaam)?
Jibu: Ndio. Lakini asizielekee hizo picha. Hakuna neno akaswali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
Imechapishwa: 19/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwenye-kanisa-lililo-na-misalaba-na-nembo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)