Swali: Je, mtu anaweza kusema kwamba ni sharti kuswali katika mkusanyiko?
Jibu: Hapana, sio sharti. Ni wajibu. Kuswali katika mkusanyiko ni wajibu. Kwa vovyote sio sharti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23718/هل-الصلاة-في-جماعة-واجبة-ام-شرط
- Imechapishwa: 08/04/2024
Swali: Je, mtu anaweza kusema kwamba ni sharti kuswali katika mkusanyiko?
Jibu: Hapana, sio sharti. Ni wajibu. Kuswali katika mkusanyiko ni wajibu. Kwa vovyote sio sharti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23718/هل-الصلاة-في-جماعة-واجبة-ام-شرط
Imechapishwa: 08/04/2024
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwa-mkusanyiko-ni-lazima-na-sio-sharti/