Swali: Swalah ya mtu ambaye kishabaleghe kati ya vijana wawili wadogo inazingatiwa ni kama aliyeswali peke yake kwenye safu?
JIbu: Ikiwa wamefikia upeo wa kuweza kupambanua ni sawa. Inajuzu kufanya safu na vijana wenye upeo wa kupambanua. Ama ikiwa hawajafikia upeo wa kuweza kupambanua, asiunge nao safu kwani anazingatiwa kuwa peke yake kwenye safu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (78) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_3_1_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Swalah ya mtu ambaye kishabaleghe kati ya vijana wawili wadogo inazingatiwa ni kama aliyeswali peke yake kwenye safu?
JIbu: Ikiwa wamefikia upeo wa kuweza kupambanua ni sawa. Inajuzu kufanya safu na vijana wenye upeo wa kupambanua. Ama ikiwa hawajafikia upeo wa kuweza kupambanua, asiunge nao safu kwani anazingatiwa kuwa peke yake kwenye safu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (78) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_3_1_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-katika-safu-kati-ya-watoto-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)