Swali: Je, Sunnah kuswali swalah kamili au kufupisha siku ya Tarwiyah?
Jibu: Ni kufupisha swalah kuwa Rak´ah mbili, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) siku ya Tarwiyah.
Swali: Ikiwa wako katika kundi na hawawezi kusikia Khutbah ya imamu. Je, mmoja wao anaweza kuwahutubia?
Jibu: Hakuna tatizo. Ikiwa wanaswali pamoja, mmoja wao anaweza kuwakhutubia khaswa ikiwa miongoni mwao kuna mwanafunzi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24999/هل-المشروع-يوم-التروية-الاتمام-ام-القصر
- Imechapishwa: 24/01/2025
Swali: Je, Sunnah kuswali swalah kamili au kufupisha siku ya Tarwiyah?
Jibu: Ni kufupisha swalah kuwa Rak´ah mbili, kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) siku ya Tarwiyah.
Swali: Ikiwa wako katika kundi na hawawezi kusikia Khutbah ya imamu. Je, mmoja wao anaweza kuwahutubia?
Jibu: Hakuna tatizo. Ikiwa wanaswali pamoja, mmoja wao anaweza kuwakhutubia khaswa ikiwa miongoni mwao kuna mwanafunzi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24999/هل-المشروع-يوم-التروية-الاتمام-ام-القصر
Imechapishwa: 24/01/2025
https://firqatunnajia.com/kuswali-kamili-au-kwa-kupunguza-katika-siku-ya-tarwiyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)