Swali: Mimi kila asubuhi ninasoma Qur-aan na wakati huohuo kunakuwa na kanda inayosoma Qur-aan. Je, inajuzu kufanya hivo?
Jibu: Ndio, inajuzu kwako kusoma Qur-aan midhali sauti ya kanda haikushughulishi na kusoma na kuzingatia yale unayoyasoma.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/104)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Mimi kila asubuhi ninasoma Qur-aan na wakati huohuo kunakuwa na kanda inayosoma Qur-aan. Je, inajuzu kufanya hivo?
Jibu: Ndio, inajuzu kwako kusoma Qur-aan midhali sauti ya kanda haikushughulishi na kusoma na kuzingatia yale unayoyasoma.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/104)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-na-huku-mtu-anafuatilia-kaseti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)