Swali: Je, inajuzu kwa aliyefanya Tayammum kutokana na janaba kugusa na kusoma ndani ya msahafu?
Jibu: Ndio. Ikiwa hana maji au yuko na maji lakini haiwezekani kuyatumia, Tayammum inachukua nafasi ya maji. Hivyo aiguse msahafu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (81) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_14_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwa aliyefanya Tayammum kutokana na janaba kugusa na kusoma ndani ya msahafu?
Jibu: Ndio. Ikiwa hana maji au yuko na maji lakini haiwezekani kuyatumia, Tayammum inachukua nafasi ya maji. Hivyo aiguse msahafu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (81) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_14_03_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-kwa-aliyetayamamu-janaba/