Swali: Je, inajuzu kutumia neno ´mwenye kufanya kitendo cha jinai` (مُجرم) kumpachika nalo mtu wa Bid´ah ambaye anadhihirisha Bid´ah zake?
Jibu: Hakuna jina la fedheha zaidi kama kusema “mtu wa Bid´ah”. Neno mujrim ni khafifu kuliko neno mtu wa Bid´ah. Lakini litumie ikithibiti kweli kama ni mtu wa Bid´ah. Sio kila chenye kudhaniwa kuwa ni Bid´ah inakuwa Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (81) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_14_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, inajuzu kutumia neno ´mwenye kufanya kitendo cha jinai` (مُجرم) kumpachika nalo mtu wa Bid´ah ambaye anadhihirisha Bid´ah zake?
Jibu: Hakuna jina la fedheha zaidi kama kusema “mtu wa Bid´ah”. Neno mujrim ni khafifu kuliko neno mtu wa Bid´ah. Lakini litumie ikithibiti kweli kama ni mtu wa Bid´ah. Sio kila chenye kudhaniwa kuwa ni Bid´ah inakuwa Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (81) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_14_03_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/ahl-ul-bidah-waitwe-ahl-ul-bidah/