Swali: Je, inafaa kuchukua elimu kwa mtu ambaye hamfanyii Tabdiy´ al-Jahm bin Swafwaan[1]?
Jibu: Hapana. Mtu asichukue kutoka kwake elimu. Ambaye hamfanyii Tabdiy´ maana yake ni kwamba anakubaliana na ´Aqiydah yake. Haijuzu kufanya hivo. Huyu ni mzushi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/al-jaabiriy-kuhusu-ar-ruhayliy/
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (50) https://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-03-01-1438.mp3 Tarehe: 1438-01-03/2016-10-04
- Imechapishwa: 13/11/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket