Swali: Je, inafaa kuchukua elimu kwa mtu ambaye hamfanyii Tabdiy´ al-Jahm bin Swafwaan[1]?
Jibu: Hapana. Mtu asichukue kutoka kwake elimu. Ambaye hamfanyii Tabdiy´ maana yake ni kwamba anakubaliana na ´Aqiydah yake. Haijuzu kufanya hivo. Huyu ni mzushi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/al-jaabiriy-kuhusu-ar-ruhayliy/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (50) https://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-03-01-1438.mp3 Tarehe: 1438-01-03/2016-10-04
- Imechapishwa: 13/11/2022
Swali: Je, inafaa kuchukua elimu kwa mtu ambaye hamfanyii Tabdiy´ al-Jahm bin Swafwaan[1]?
Jibu: Hapana. Mtu asichukue kutoka kwake elimu. Ambaye hamfanyii Tabdiy´ maana yake ni kwamba anakubaliana na ´Aqiydah yake. Haijuzu kufanya hivo. Huyu ni mzushi.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/al-jaabiriy-kuhusu-ar-ruhayliy/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (50) https://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-03-01-1438.mp3 Tarehe: 1438-01-03/2016-10-04
Imechapishwa: 13/11/2022
https://firqatunnajia.com/kusoma-kwa-ambaye-ambaye-hamfanyii-tabdiy-al-jahm-bin-swafwaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)