Swali: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa miongoni mwa ´ibaadah bora zaidi zinazopendeza ni kutafuta elimu.
Jibu: Kutafuta elimu ni faradhi na si jambo la kupendeza ili mtu ajifunze na kuielewa dini yake. Lakini miongoni mwa aina ya zinazopendeza kujifunza elimu ndio ´ibaadah bora.
Swali: Je, kuhudhuria darsa ni faradhi?
Jibu: Ni lazima kwake kujifunza. Ni mamoja kwa kuhudhuria au kwa njia nyingine. Zote ni mamoja. Lengo ni ili ajifunze dini yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22218/هل-طلب-العلم-فريضة-ام-نافلة
- Imechapishwa: 13/11/2022
Swali: Baadhi ya wanazuoni wanasema kuwa miongoni mwa ´ibaadah bora zaidi zinazopendeza ni kutafuta elimu.
Jibu: Kutafuta elimu ni faradhi na si jambo la kupendeza ili mtu ajifunze na kuielewa dini yake. Lakini miongoni mwa aina ya zinazopendeza kujifunza elimu ndio ´ibaadah bora.
Swali: Je, kuhudhuria darsa ni faradhi?
Jibu: Ni lazima kwake kujifunza. Ni mamoja kwa kuhudhuria au kwa njia nyingine. Zote ni mamoja. Lengo ni ili ajifunze dini yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22218/هل-طلب-العلم-فريضة-ام-نافلة
Imechapishwa: 13/11/2022
https://firqatunnajia.com/kujfiunza-elimu-inapendeza-tu-au-ni-lazima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)