Swali: Je, kumepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Hadiyth yoyote inayosema kuwa mja akimaliza kuswali asisimame kutoka mahali pake mpaka amalize kufanya Dhikr?
Jibu: Sijafikiwa na kitu. Hata hivyo kufanya hivo ndio bora akamilishe kwanza zile Dhikr zilizowekwa katika Shari´ah.
Swali: Lakini sio kwa njia ya ulazima?
Jibu: Hapana, sio kwa njia ya ulazima. Akitoa salamu amemaliza kuswali.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23367/ما-حكم-القيام-بعد-الصلاة-قبل-اكمال-اذكارها
- Imechapishwa: 04/01/2024
Swali: Je, kumepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Hadiyth yoyote inayosema kuwa mja akimaliza kuswali asisimame kutoka mahali pake mpaka amalize kufanya Dhikr?
Jibu: Sijafikiwa na kitu. Hata hivyo kufanya hivo ndio bora akamilishe kwanza zile Dhikr zilizowekwa katika Shari´ah.
Swali: Lakini sio kwa njia ya ulazima?
Jibu: Hapana, sio kwa njia ya ulazima. Akitoa salamu amemaliza kuswali.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23367/ما-حكم-القيام-بعد-الصلاة-قبل-اكمال-اذكارها
Imechapishwa: 04/01/2024
https://firqatunnajia.com/kusimama-kabla-ya-kumaliza-adhkaar-za-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)