89 – Muhammad bin Yahyaa bin Haaruun al-Askaafiy ametuhadithia: ´Abdah bin ´Abdillaah as-Swaffaar ametuhadithia …:
Pia al-Qaadhwiy al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: al-Fadhwl bin Abiy Twaalib ametuhadithia…:
Ibn ´Ubayd al-Qaasim bin Ismaa´iyl pia ametuhadithia: al-Hasan bin Muhammad as-Swabbaah na al-Hasan bin Yahyaa al-Jurjaaniy ametuhadithia…:
Pia Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdil-Malik ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun ametuhadithia: al-Hajjaaj ametuhadithia, kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa ´Urwah, kutoka kwa ´Aaishah ambaye amesema:
“Usiku mmoja nilimkosa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Nikatoka na tahamaki nikamuona yuko al-Baqiy´ hali ya kuwa amekinyanyua kichwa chake kukielekeza mbinguni. Akanambia: “Je, ulikuwa unaogopa kwamba Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) watakudhulumu?” Nikasema: “Nini, ee Mtume wa Allaah?” Nilidhani kuwa umewaendea baadhi ya wake zako.” Akasema: “Hakika Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia usiku wa nusu Sha´baan na akasamehe zaidi ya wingi wa nywele za Kalb cha kondoo.”[1]
Matamshi yao ni yenye kukaribiana.
[1] al-Hajjaaj bin Artwa´ah alikuwa anafanya Tadliys. Hapa amesimulia pasi na kubainisha namna gani.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 169-170
- Imechapishwa: 12/01/2021
- mkusanyaji: ´Allaaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
89 – Muhammad bin Yahyaa bin Haaruun al-Askaafiy ametuhadithia: ´Abdah bin ´Abdillaah as-Swaffaar ametuhadithia …:
Pia al-Qaadhwiy al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: al-Fadhwl bin Abiy Twaalib ametuhadithia…:
Ibn ´Ubayd al-Qaasim bin Ismaa´iyl pia ametuhadithia: al-Hasan bin Muhammad as-Swabbaah na al-Hasan bin Yahyaa al-Jurjaaniy ametuhadithia…:
Pia Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdil-Malik ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun ametuhadithia: al-Hajjaaj ametuhadithia, kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa ´Urwah, kutoka kwa ´Aaishah ambaye amesema:
“Usiku mmoja nilimkosa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Nikatoka na tahamaki nikamuona yuko al-Baqiy´ hali ya kuwa amekinyanyua kichwa chake kukielekeza mbinguni. Akanambia: “Je, ulikuwa unaogopa kwamba Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) watakudhulumu?” Nikasema: “Nini, ee Mtume wa Allaah?” Nilidhani kuwa umewaendea baadhi ya wake zako.” Akasema: “Hakika Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia usiku wa nusu Sha´baan na akasamehe zaidi ya wingi wa nywele za Kalb cha kondoo.”[1]
Matamshi yao ni yenye kukaribiana.
[1] al-Hajjaaj bin Artwa´ah alikuwa anafanya Tadliys. Hapa amesimulia pasi na kubainisha namna gani.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 169-170
Imechapishwa: 12/01/2021
mkusanyaji: ´Allaaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-aaishah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)