90 – Ismaa´iyl bin ´Abbaas al-Warraaq ametuhadithia: al-´Abbaas bin Muhammad ametuhadithia: ´Umar bin Hafsw bin Ghiyaath ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: kutoka kwa Hajjaaj, kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa ´Urwah, kutoka kwa ´Aaishah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na akasamehe madhambi mengi zaidi ya nywele za Kalb cha kondoo.”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 170
- Imechapishwa: 12/01/2021
90 – Ismaa´iyl bin ´Abbaas al-Warraaq ametuhadithia: al-´Abbaas bin Muhammad ametuhadithia: ´Umar bin Hafsw bin Ghiyaath ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia: kutoka kwa Hajjaaj, kutoka kwa Yahyaa bin Abiy Kathiyr, kutoka kwa ´Urwah, kutoka kwa ´Aaishah aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na akasamehe madhambi mengi zaidi ya nywele za Kalb cha kondoo.”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 170
Imechapishwa: 12/01/2021
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-aaishah-02/