61 – ´Abdus-Swamad bin ´Aliy ametuhadithia: Ja´far bin Ahmad bin al-Khaliyl ametuhadithia: ´Abdus-Salaam bin ´Aaswim ametuhadithia: Abu Zuhayr ametuhadithia: Jaabir bin Yahyaa al-Hadhwramiy ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy:
“Nawashuhudilia kuwa wamesema na wao wanashuhudia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Allaah anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ya kwanza ndipo hushuka katika mbingu ya chini kisha ananadi: “Je, kuna mtenda dhambi? Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba?”
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hawakusanyiki watu wakimdhukuru Allaah (´Azza wa Jall) isipokuwa wanazungukwa na Malaika, huteremkiwa na utulivu, hufunikwa na rehema na Allaah anawataja kwa wale walioko Kwake.”
al-A´mash ameipokea pia kutoka kwa Abu Ishaaq na Habiyb bin Abiy Thaabit kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 135-136
- Imechapishwa: 26/04/2020
61 – ´Abdus-Swamad bin ´Aliy ametuhadithia: Ja´far bin Ahmad bin al-Khaliyl ametuhadithia: ´Abdus-Salaam bin ´Aaswim ametuhadithia: Abu Zuhayr ametuhadithia: Jaabir bin Yahyaa al-Hadhwramiy ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy:
“Nawashuhudilia kuwa wamesema na wao wanashuhudia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Allaah anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ya kwanza ndipo hushuka katika mbingu ya chini kisha ananadi: “Je, kuna mtenda dhambi? Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba?”
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hawakusanyiki watu wakimdhukuru Allaah (´Azza wa Jall) isipokuwa wanazungukwa na Malaika, huteremkiwa na utulivu, hufunikwa na rehema na Allaah anawataja kwa wale walioko Kwake.”
al-A´mash ameipokea pia kutoka kwa Abu Ishaaq na Habiyb bin Abiy Thaabit kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 135-136
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-10/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket