Swali: Tunasikia baadhi ya watu wanasema ´Qadar imetaka`. Je, msemo huu una makosa katika upande wa ´Aqiydah?
Jibu: Ndio. Haitakikani kusema hivi. Badala yake anatakiwa aseme ´Allaah Akitaka`. Asiyanasibishe matakwa kwa Qadar. Matakwa ni ya Allaah. Inatakikana kuacha msemo huu. Matakwa ni Sifa miongoni mwa Sifa za Allaah. Badala yake aseme ´Allaah Akitaka`. Ama kuhusu Qadar ni yale Aliyopanga na Kukadiria Allaah. Ni matendo ya Allaah. Hivyo asiseme ´Qadar ikitaka`. Badala yake aseme ´Allaah Akitaka´.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=11647
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Tunasikia baadhi ya watu wanasema ´Qadar imetaka`. Je, msemo huu una makosa katika upande wa ´Aqiydah?
Jibu: Ndio. Haitakikani kusema hivi. Badala yake anatakiwa aseme ´Allaah Akitaka`. Asiyanasibishe matakwa kwa Qadar. Matakwa ni ya Allaah. Inatakikana kuacha msemo huu. Matakwa ni Sifa miongoni mwa Sifa za Allaah. Badala yake aseme ´Allaah Akitaka`. Ama kuhusu Qadar ni yale Aliyopanga na Kukadiria Allaah. Ni matendo ya Allaah. Hivyo asiseme ´Qadar ikitaka`. Badala yake aseme ´Allaah Akitaka´.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=11647
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/kusema-qadar-ikitaka-2__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
