Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusafiri kwa lengo la kwenda kutoa pole kwa ajili ya maiti?
Jibu: Hapana. Halikuwekwa katika Shari´ah. Hakuna haja ya kusafiri. Wape pole kwa simu na wewe uko mahala pako na wala hakuna haja ya kusafiri.
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa wale wafiliwa kuwatengenezea chakula wale waliokuja kutoa pole?
Jibu: Hapana. Wafiliwa wapike chakula cha kwao wao wenyewe na si kuwapikia wageni. Mambo yanatakiwa kuwa kinyume. Lililo la wajibu ni wao ndio wanaotakiwa kutengenezewa na kuletewa chakula.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 14/07/2018
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kusafiri kwa lengo la kwenda kutoa pole kwa ajili ya maiti?
Jibu: Hapana. Halikuwekwa katika Shari´ah. Hakuna haja ya kusafiri. Wape pole kwa simu na wewe uko mahala pako na wala hakuna haja ya kusafiri.
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa wale wafiliwa kuwatengenezea chakula wale waliokuja kutoa pole?
Jibu: Hapana. Wafiliwa wapike chakula cha kwao wao wenyewe na si kuwapikia wageni. Mambo yanatakiwa kuwa kinyume. Lililo la wajibu ni wao ndio wanaotakiwa kutengenezewa na kuletewa chakula.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 14/07/2018
https://firqatunnajia.com/kusafiri-kwa-ajili-ya-kwenda-kutoa-pole/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)