Swali: Maneno ya Ibn ´Abbaas:
“Ataoga na kuswali ijapo ni kwa saa.”
Ina maana kwamba hata kama atasafika saa limoja tu?
Jibu: Pale atakapoona kusafika kwa kawaida.
Swali: Ijapo ni kwa saa limoja?
Jibu: Hata kama. Akiona kuwa amesafika ataoga na kuswali. Hayo ndio makusudio.
Swali: Damu ikirudi?
Jibu: Atakaa ikiwa imetokea katika ule muda wake. Kisha ikiwa sio katika ada yake ni damu ya ugonjwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23557/معنى-تغتسل-وتصلي-ولو-ساعة-للحاىض
- Imechapishwa: 10/02/2024
Swali: Maneno ya Ibn ´Abbaas:
“Ataoga na kuswali ijapo ni kwa saa.”
Ina maana kwamba hata kama atasafika saa limoja tu?
Jibu: Pale atakapoona kusafika kwa kawaida.
Swali: Ijapo ni kwa saa limoja?
Jibu: Hata kama. Akiona kuwa amesafika ataoga na kuswali. Hayo ndio makusudio.
Swali: Damu ikirudi?
Jibu: Atakaa ikiwa imetokea katika ule muda wake. Kisha ikiwa sio katika ada yake ni damu ya ugonjwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23557/معنى-تغتسل-وتصلي-ولو-ساعة-للحاىض
Imechapishwa: 10/02/2024
https://firqatunnajia.com/kusafika-na-damu-kwa-saa-limoja/