Swali: Nimehajiri kutoka katika nchi ya kikafiri na kuja katika nchi hii. Inajuzu kwangu kurudi kusafiri katika nchi yangu mara moja moja kwa ajili ya biashara zangu?
Jibu: Ndio. Inajuzu kwa muislamu kusafiri kwenda katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya biashara na kufanya mikataba na kampuni. Inajuzu, hii ni sababu sahihi. Inajuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathyl%20majd%20-%2026%20-%2010%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Nimehajiri kutoka katika nchi ya kikafiri na kuja katika nchi hii. Inajuzu kwangu kurudi kusafiri katika nchi yangu mara moja moja kwa ajili ya biashara zangu?
Jibu: Ndio. Inajuzu kwa muislamu kusafiri kwenda katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya biashara na kufanya mikataba na kampuni. Inajuzu, hii ni sababu sahihi. Inajuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathyl%20majd%20-%2026%20-%2010%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kurudi-katika-nchi-ya-kikafiri-kwa-ajili-ya-biashara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket