al-Fawzaan kuhusu taaliki ya al-Faqiy ya Fath-ul-Majiyd

Swali: Tumepata taaliki yenye kubainisha kuwa ni taaliki ya Shaykh Muhammad Haamid al-Faqiy iliyokaguliwa na Shaykh Ibn Baaz.

Jibu: Taaliki ya Shaykh Muhammad Haamid sio kama taaliki ya Shaykh Ibn Baaz. Taaliki yake inaweza kuwa na vitu ambavyo vinahitajia kuangaliwa vizuri. Taaliki ya Shaykh Muhammad Haamid inaweza kuwa na vitu ambavyo vinahitajia kuangaliwa vizuri. Alikuwa (Rahimahu Allaah) na ghera juu ya Tawhiyd na kuipenda, lakini anaweza kukosea.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
  • Imechapishwa: 12/02/2017