Swali: Kuna kundi la watu waliswali makosa kinyume na Qiblah na wakajua hilo baada ya kupita muda wa swalah. Je, wairudie?
Jibu: Ikiwa ni upindaji mdogo haudhuru. Na ikiwa upindaji ni mkubwa wanalazimika kuirudia.
Swali: Vipi ikiwa watapinda katikati ya swalah na wakarekebisha mwelekeo wao?`
Jibu: Ikiwa ni upindaji mdogo na wakarekebisha inatosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22191/ما-حكم-من-صلى-لغير-القبلة-ثم-علم-بذلك
- Imechapishwa: 05/11/2022
Swali: Kuna kundi la watu waliswali makosa kinyume na Qiblah na wakajua hilo baada ya kupita muda wa swalah. Je, wairudie?
Jibu: Ikiwa ni upindaji mdogo haudhuru. Na ikiwa upindaji ni mkubwa wanalazimika kuirudia.
Swali: Vipi ikiwa watapinda katikati ya swalah na wakarekebisha mwelekeo wao?`
Jibu: Ikiwa ni upindaji mdogo na wakarekebisha inatosha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22191/ما-حكم-من-صلى-لغير-القبلة-ثم-علم-بذلك
Imechapishwa: 05/11/2022
https://firqatunnajia.com/kurekebisha-mwelekeo-wa-qiblah-ndani-ya-swalah/