Kuna Muislamu katika nchi za magharibi anayehitajia kazi kutokana na shida alionayo yeye na familia yake; mama na baba. Ametafuta kazi sana kwa njia ya uandishi na kupiga simu kwa kiasi cha mara arubaini [pasina mafanikio yoyote]. Anafikiria kuwa hakubaliwi kwa sababu ya ndevu zake. Je, inajuzu kwake kuzifupisha kwa kiasi cha kiganja?
Jibu: Hapana. Asitafuti riziki kwa kumuasi Allaah. Amche Allaah:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ |
“Na yeyote (yule) anayemcha Allaah; (basi Allaah) Atamjaalia njia (ya kutoka katika matatizo). Na Atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.” (65:02-03) |
Asitafuti riziki kwa maasi kamwe, si kwa kunyoa ndevu zake, kuzifupisha na mengine. Ashikamane na Dini yake na amuombe Allaah. Allaah Atamfungulia mlango wa riziki yake kwa njia asiyoitarajia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (5) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-22.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Kuna Muislamu katika nchi za magharibi anayehitajia kazi kutokana na shida alionayo yeye na familia yake; mama na baba. Ametafuta kazi sana kwa njia ya uandishi na kupiga simu kwa kiasi cha mara arubaini [pasina mafanikio yoyote]. Anafikiria kuwa hakubaliwi kwa sababu ya ndevu zake. Je, inajuzu kwake kuzifupisha kwa kiasi cha kiganja?
Jibu: Hapana. Asitafuti riziki kwa kumuasi Allaah. Amche Allaah:
وَمَن يَتَّقِ اللَّـهَ يَجْعَل لَّهُ مَخْرَجًا وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ
“Na yeyote (yule) anayemcha Allaah; (basi Allaah) Atamjaalia njia (ya kutoka katika matatizo). Na Atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii.” (65:02-03)
Asitafuti riziki kwa maasi kamwe, si kwa kunyoa ndevu zake, kuzifupisha na mengine. Ashikamane na Dini yake na amuombe Allaah. Allaah Atamfungulia mlango wa riziki yake kwa njia asiyoitarajia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (5) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-22.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/kupunguza-ndevu-kwa-sababu-ya-kazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)