Swali: Sisi tuko katika zama za kutokeza kwa al-Mahdiy?
Jibu: Allaah ndiye Anajua zaidi. Lakini hata hivyo aliyoeleza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni lazima yatokeze. Ama kusema kuwa kwa yakini kuwa huu ndio wakati wake, hapana hatufanyi hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan%201-10-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Sisi tuko katika zama za kutokeza kwa al-Mahdiy?
Jibu: Allaah ndiye Anajua zaidi. Lakini hata hivyo aliyoeleza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni lazima yatokeze. Ama kusema kuwa kwa yakini kuwa huu ndio wakati wake, hapana hatufanyi hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan%201-10-08-1433.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/huu-ni-wakati-wa-kutokeza-kwa-al-mahdiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)