Huu ni wakati wa kutokeza kwa al-Mahdiy?

Swali: Sisi tuko katika zama za kutokeza kwa al-Mahdiy?

Jibu: Allaah ndiye Anajua zaidi. Lakini hata hivyo aliyoeleza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni lazima yatokeze. Ama kusema kuwa kwa yakini kuwa huu ndio wakati wake, hapana hatufanyi hivo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan%201-10-08-1433.mp3
  • Imechapishwa: 21/04/2015