Swali: Ni ipi hukumu ya ujira anapewa mwalimu anayewafunza watu Qur-aan?
Jibu: Ni sawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Hakika kilicho na haki zaidi kukichukulia ujira kwacho ni Kitabu cha Allaah.”
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (91/04)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya ujira anapewa mwalimu anayewafunza watu Qur-aan?
Jibu: Ni sawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Hakika kilicho na haki zaidi kukichukulia ujira kwacho ni Kitabu cha Allaah.”
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (91/04)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kupokea-mshahara-kwa-kufunza-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
