Swali: Je, inajuzu kupita kati ya safu na mbele ya mtu ambaye amepitwa na Rak´ah kwa kutumia hoja ya kitendo cha Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ya kwamba alipita mbele…
Jibu: Sutrah ya imamu inatosheleza Sutrah ya maamuma. Sutrah ya imamu inatosheleza kwa safu zote [za nyuma kwa maamuma]. Wakati wa haja inajuzu kupita kati ya safu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, inajuzu kupita kati ya safu na mbele ya mtu ambaye amepitwa na Rak´ah kwa kutumia hoja ya kitendo cha Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ya kwamba alipita mbele…
Jibu: Sutrah ya imamu inatosheleza Sutrah ya maamuma. Sutrah ya imamu inatosheleza kwa safu zote [za nyuma kwa maamuma]. Wakati wa haja inajuzu kupita kati ya safu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kupita-kati-ya-safu-za-waswaliji-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)