Swali: Ni ipi hukumu ya kusalimiana kwa kupeana mkono na mwanamke wa kando kwa ajili ya manufaa?
Jibu: Hapana, haijuzu kusalimiana kwa kupeana mkono na wanawake. Lakini awazungumzishe bila kupeana nao mikono. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi sipeani mkono na wanawake.”
´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Naapa kwa Allaah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo kamwe kugusa mkono wa mwanamke. Alikuwa akiwapa kiapo kwa maneno.”
Swali: Kuwatolea salamu?
Jibu: Kwa maneno:
السلام عليكم
“Amani iwe juu yenu.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwapitia wanawake ambapo akawatolea salamu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21928/حكم-مصافحة-المراة-الاجنبية-للمصلحة
- Imechapishwa: 03/10/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kusalimiana kwa kupeana mkono na mwanamke wa kando kwa ajili ya manufaa?
Jibu: Hapana, haijuzu kusalimiana kwa kupeana mkono na wanawake. Lakini awazungumzishe bila kupeana nao mikono. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi sipeani mkono na wanawake.”
´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Naapa kwa Allaah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo kamwe kugusa mkono wa mwanamke. Alikuwa akiwapa kiapo kwa maneno.”
Swali: Kuwatolea salamu?
Jibu: Kwa maneno:
السلام عليكم
“Amani iwe juu yenu.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwapitia wanawake ambapo akawatolea salamu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21928/حكم-مصافحة-المراة-الاجنبية-للمصلحة
Imechapishwa: 03/10/2022
https://firqatunnajia.com/kupeana-mkono-na-wanawake-kwa-ajili-ya-manufaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)