Swali: Mwanamke kukata nywele zake kwa ajili ya kumpambia mume wake.
Jibu: Hapana vibaya akipunguza katika ncha. Lakini asinyoe. Akikata kidogo kwa sababu ni nyingi au ni ndefu sana zinamdhuru au mume akaona kuwa ukataji huo ndani yake unamsaidia au kunamfanya kuwa mzuri zaidi hapana vibaya.
Swali: Ni kipi kikomo cha ukataji wa mwanamke?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Sharti tu ni yeye asijifananishe na wanamme wala wanawake [wa kikafiri].
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21940/حكم-قص-شعر-المراة-للتجمل-لزوجها
- Imechapishwa: 03/10/2022
Swali: Mwanamke kukata nywele zake kwa ajili ya kumpambia mume wake.
Jibu: Hapana vibaya akipunguza katika ncha. Lakini asinyoe. Akikata kidogo kwa sababu ni nyingi au ni ndefu sana zinamdhuru au mume akaona kuwa ukataji huo ndani yake unamsaidia au kunamfanya kuwa mzuri zaidi hapana vibaya.
Swali: Ni kipi kikomo cha ukataji wa mwanamke?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Sharti tu ni yeye asijifananishe na wanamme wala wanawake [wa kikafiri].
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21940/حكم-قص-شعر-المراة-للتجمل-لزوجها
Imechapishwa: 03/10/2022
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-itafaa-kwa-mwanamke-kukata-nywele-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)