Swali: Je, inapendeza kunyanyua macho juu wakati wa kuomba du´aa?
Jibu: Linahitaji upambanuzi:
– Ikiwa ni ndani ya swalah ainamishe macho yake.
– Ikiwa ni nje ya swalah jambo ni lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24223/هل-يستحب-رفع-البصر-عند-الدعاء
- Imechapishwa: 14/09/2024
Swali: Je, inapendeza kunyanyua macho juu wakati wa kuomba du´aa?
Jibu: Linahitaji upambanuzi:
– Ikiwa ni ndani ya swalah ainamishe macho yake.
– Ikiwa ni nje ya swalah jambo ni lenye wasaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24223/هل-يستحب-رفع-البصر-عند-الدعاء
Imechapishwa: 14/09/2024
https://firqatunnajia.com/kupandisha-macho-juu-wakati-wa-kuomba-duaa/