Swali: Nikiamka usiku hali ya kuwa wudhuu´ wangu umechenguka na sikuosha mikono yangu mara tatu. Nikawa nimetawadha tu na kuswali. Kisha katikati ya swalah nikakumbuka hilo. Nifanye nini?
Jibu: Kuosha mikono wakati wa kumka ni jambo la wajibu kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Ni jambo la wajibu. Lakini ukisahau na uliosha mikono yako yote vizuri wakati wa kutawadha, ulisahau kuanza kuiosha mwanzoni mara tatu kabla ya kuanza kutawadha – hili ni nje ya wudhuu´ – limepita pahala pake. Swalah yako na wudhuu´ wako ni sahihi – Allaah akitaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-23.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Nikiamka usiku hali ya kuwa wudhuu´ wangu umechenguka na sikuosha mikono yangu mara tatu. Nikawa nimetawadha tu na kuswali. Kisha katikati ya swalah nikakumbuka hilo. Nifanye nini?
Jibu: Kuosha mikono wakati wa kumka ni jambo la wajibu kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Ni jambo la wajibu. Lakini ukisahau na uliosha mikono yako yote vizuri wakati wa kutawadha, ulisahau kuanza kuiosha mwanzoni mara tatu kabla ya kuanza kutawadha – hili ni nje ya wudhuu´ – limepita pahala pake. Swalah yako na wudhuu´ wako ni sahihi – Allaah akitaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-23.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuosha-mikono-wakati-wa-kuamka-kutoka-usingizini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)