Swali: Baadhi ya wanachuoni wamemjuzishia mwanamke aliyefunga kuonja chakula ikiwa anataka kujua kilivyo chakula kwa sharti chakula hicho kisifike kooni. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mtu kuonja chakula mchana wa Ramadhaan wakati wa haja. Swawm yake ni sahihi midhali hakukusudia kumeza kitu katika chakula hicho.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/332)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Baadhi ya wanachuoni wamemjuzishia mwanamke aliyefunga kuonja chakula ikiwa anataka kujua kilivyo chakula kwa sharti chakula hicho kisifike kooni. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hakuna ubaya kwa mtu kuonja chakula mchana wa Ramadhaan wakati wa haja. Swawm yake ni sahihi midhali hakukusudia kumeza kitu katika chakula hicho.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/332)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuonja-chakula-mchana-wa-ramadhaan-kunaharibu-swawm-2/