Swali: Msafiri aliyefunga afanye nini ikiwa anasafiri kwenda mji mwingine na kitu kingine zaidi ya maji tu?
Jibu: Ikiwa mtu amefunga na jua likazama na hakupata kitu kingine cha kufunguza isipokuwa maji peke yake basi afunguze kwa maji. Kwa sababu kukata swawm kwa tende ni jambo limependekezwa na sio wajibu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/335)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Msafiri aliyefunga afanye nini ikiwa anasafiri kwenda mji mwingine na kitu kingine zaidi ya maji tu?
Jibu: Ikiwa mtu amefunga na jua likazama na hakupata kitu kingine cha kufunguza isipokuwa maji peke yake basi afunguze kwa maji. Kwa sababu kukata swawm kwa tende ni jambo limependekezwa na sio wajibu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/335)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-mfungaji-kukata-swawm-kwa-tende/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)