Swali: Inajuzu kwa mtu kuomba du´aa kwa kusema:
“Ee Allaah! Mimi nakuomba kwa kumpenda Kwako Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”
Jibu: Hapana, asiombe hivo ya kwamba anamuomba kwa kumpenda Kwake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hili halina uhusiano wowote na mwombaji. Badala yake aombe kwa kusema:
“Ee Allaah! Nakuomba kwa kumpenda kwangu Mtume Wako (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Hichi ndio kitendo chako. Kumpenda kwako Mtume wa Allaah au kumpenda kwako Allaah ni kitendo chako ambacho unatawassul kwacho kwa Allaah. Ama kuomba kwa matendo ya wengine haifai.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (32) http://alfawzan.af.org.sa/node/2144
- Imechapishwa: 13/07/2020
Swali: Inajuzu kwa mtu kuomba du´aa kwa kusema:
“Ee Allaah! Mimi nakuomba kwa kumpenda Kwako Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?”
Jibu: Hapana, asiombe hivo ya kwamba anamuomba kwa kumpenda Kwake Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hili halina uhusiano wowote na mwombaji. Badala yake aombe kwa kusema:
“Ee Allaah! Nakuomba kwa kumpenda kwangu Mtume Wako (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Hichi ndio kitendo chako. Kumpenda kwako Mtume wa Allaah au kumpenda kwako Allaah ni kitendo chako ambacho unatawassul kwacho kwa Allaah. Ama kuomba kwa matendo ya wengine haifai.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (32) http://alfawzan.af.org.sa/node/2144
Imechapishwa: 13/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuomba-kwa-mapenzi-ya-allaah-kwa-muhammad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)