Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono kwa ajili ya kuomba du´aa baada ya kutawadha?
Jibu: Hili halikuthibiti. Haikuthibiti kuwa mikono inanyanyuliwa baada ya kutawadha. Kilichothibiti ni yeye kuelekeza macho yake mbinguni na kusema:
أَشْهَدُ أَنْ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ
“Nashuhudia ya kwamba hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah, hali ya kuwa pekee hana mshirika, na nashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na ni Mtume wake.”
اللَّهُمَّ اجْعَلْنِي مِنَ التَّوَّابِينَ وَاجْعَلْنِي مِنَ الْمُتَطَهِّرِينَ
“Ee Allaah! Nijaalie kuwa katika wenye kutubia na nijaalie kuwa katika wenye kujitwaharisha.”
Afanye hivo bila ya kunyanyua mikono.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono kwa ajili ya kuomba du´aa baada ya kutawadha?
Jibu: Hili halikuthibiti. Haikuthibiti kuwa mikono inanyanyuliwa baada ya kutawadha. Kilichothibiti ni yeye kuelekeza macho yake mbinguni na kusema:
أَشْهَدُ أَنْ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ
“Nashuhudia ya kwamba hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah, hali ya kuwa pekee hana mshirika, na nashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na ni Mtume wake.”
اللَّهُمَّ اجْعَلْنِي مِنَ التَّوَّابِينَ وَاجْعَلْنِي مِنَ الْمُتَطَهِّرِينَ
“Ee Allaah! Nijaalie kuwa katika wenye kutubia na nijaalie kuwa katika wenye kujitwaharisha.”
Afanye hivo bila ya kunyanyua mikono.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuomba-kwa-kunyanyua-mikono-baada-ya-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)