Swali: Ni ipi hukumu ya muombaji kuomba kufanyiwa mbio mahitajio yake kama kwa mfano kusema “Ee Allaah! Niharakishie faraja au kadhaa?”
Jibu: Ikiwa ametenzwa nguvu hakuna neno akamuomba Allaah amharakishie. Ama ikiwa hakutenzwa nguvu amuachie mambo Allaah (´Azza wa Jall). Huenda kucheleweshewa kwake ni bora kuliko kuharakishiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/montaqo-17-10-1434_1.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya muombaji kuomba kufanyiwa mbio mahitajio yake kama kwa mfano kusema “Ee Allaah! Niharakishie faraja au kadhaa?”
Jibu: Ikiwa ametenzwa nguvu hakuna neno akamuomba Allaah amharakishie. Ama ikiwa hakutenzwa nguvu amuachie mambo Allaah (´Azza wa Jall). Huenda kucheleweshewa kwake ni bora kuliko kuharakishiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/montaqo-17-10-1434_1.mp3
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuomba-kuharakishiwa-jambo-katika-duaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)