Swali: Ni ipi hukumu ya kuogelea na kupiga mbizi?
Jibu: Kinachozingatiwa ni kusiwepo chochote kitachoshuka kwenye koo. Hata hivyo maji ya bahari yanatofautiana. Maji ya chumvi yanaweza kupenya kwa ndani. Niliogelea ndani yake. Yanapenya ndani ya koo pasi na mtu kujua hilo. Ninashauri kujiweka mbali na hilo. Maji matamu hayapenyi kwenye koo shingoni na kuna khatari nayo pia yakaweza kufanya hivo.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuogelea na kupiga mbizi?
Jibu: Kinachozingatiwa ni kusiwepo chochote kitachoshuka kwenye koo. Hata hivyo maji ya bahari yanatofautiana. Maji ya chumvi yanaweza kupenya kwa ndani. Niliogelea ndani yake. Yanapenya ndani ya koo pasi na mtu kujua hilo. Ninashauri kujiweka mbali na hilo. Maji matamu hayapenyi kwenye koo shingoni na kuna khatari nayo pia yakaweza kufanya hivo.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 80
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuogelea-na-kupiga-mbizi-wakati-wa-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)