Swali: Mtu afanye nini ikiwa ataamka baada ya alfajiri mwanzoni wa Ramadhaan na kuanza kula halafu akapata khabari kuwa ni Ramadhaan. Je, aanze kufunga au aendelee kula?
Jibu: Aanze kufunga. Halimuathiri. Alifikiria kuwa bado ni usiku. Aanze kufunga na swawm yake ni sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 74-75
- Imechapishwa: 26/08/2020
Swali: Mtu afanye nini ikiwa ataamka baada ya alfajiri mwanzoni wa Ramadhaan na kuanza kula halafu akapata khabari kuwa ni Ramadhaan. Je, aanze kufunga au aendelee kula?
Jibu: Aanze kufunga. Halimuathiri. Alifikiria kuwa bado ni usiku. Aanze kufunga na swawm yake ni sahihi.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 74-75
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/kupata-khabari-kuwa-ni-ramadhaan-baada-ya-kula-mwanzoni-mwa-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)