Swali: Je, josho la siku ya ijumaa ni jambo maalum kwa wanaume pasina wanawake au ni kwa wote wawili?
Jibu: Ni maalum kwa wanaume. Kwa kuwa wao ndio inawawajibikia na kuhudhuria ijumaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13195
- Imechapishwa: 14/09/2020