Swali 173: Vipi kuhusu kuoga kwa ajili ya ijumaa kabla ya alfajiri?
Jibu: Hapana, bali ni katika mchana baada ya alfajiri. Lililo bora zaidi ni kuoga wakati wa kwenda ijumaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 173: Vipi kuhusu kuoga kwa ajili ya ijumaa kabla ya alfajiri?
Jibu: Hapana, bali ni katika mchana baada ya alfajiri. Lililo bora zaidi ni kuoga wakati wa kwenda ijumaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
Imechapishwa: 04/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuoga-kwa-ajili-ya-ijumaa-kunakuwa-baada-ya-alfajiri/