Swali: Kitendo cha Thumaamah kuoga mwenyewe kabla ya kusilimu kinajulisha kuwa sio wajibu kuoga kwanza?
Jibu: Ndio, hii ni miongoni mwa dalili kwamba sio wajibu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumwamrisha. Yeye ndiye alienda na kufanya. Hakumwamrisha kuoga baada ya kusilimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23649/هل-يجب-الاغتسال-لمن-اراد-ان-يسلم
- Imechapishwa: 11/03/2024
Swali: Kitendo cha Thumaamah kuoga mwenyewe kabla ya kusilimu kinajulisha kuwa sio wajibu kuoga kwanza?
Jibu: Ndio, hii ni miongoni mwa dalili kwamba sio wajibu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumwamrisha. Yeye ndiye alienda na kufanya. Hakumwamrisha kuoga baada ya kusilimu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23649/هل-يجب-الاغتسال-لمن-اراد-ان-يسلم
Imechapishwa: 11/03/2024
https://firqatunnajia.com/kuoga-kabla-ya-kusilimu/