Swali: Ni ipi hukumu ya kuoa wanawake wa Ahl-ul-Bid´ah na wale wenye kuamini kuwa Qur-aan imeumbwa?
Jibu: Ndugu! Wanawake ni wengi na himdi zote ni za Allaah. Oa wanawake wengine. Jiepushe naye na Allaah atakusahilishia kukupa aliye mbora kuliko huyo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13407
- Imechapishwa: 24/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)