Swali: Nchini kwetu wametunga sheria zinazopiga marufuku ndoa ya mitala na anaadhibiwa kwa kufungwa jela anayefanya hivo. Unatunasihi nini juu ya hilo? Je, inafaa kwetu kuoa mke wa pili kwa kisiri?
Jibu: Ikiwa mnaogopa msije kushikwa, msiziweke nafsi zenu khatarani. Lakini ikiwa hamna khofu na mnaweza kuoa, ijapo inaenda kinyume na kanuni, basi hapana neno:
”Hakuna madhara wala kudhuriana.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 11/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)