Swali: Ni bora zaidi kuepuka kufunga ndoa katika siku kumi za mwisho [wa Ramadhaan] kwa kutumia kipimo cha kuwaepuka wanawake?
Jibu: Hapana. Hakukuja kitu kinachokataza ndoa katika siku kumi za mwisho. Mtu anaweza kuoa hata kama itakuwa katika siku kumi za mwisho.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni bora zaidi kuepuka kufunga ndoa katika siku kumi za mwisho [wa Ramadhaan] kwa kutumia kipimo cha kuwaepuka wanawake?
Jibu: Hapana. Hakukuja kitu kinachokataza ndoa katika siku kumi za mwisho. Mtu anaweza kuoa hata kama itakuwa katika siku kumi za mwisho.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuoa-katika-kumi-la-mwisho-la-ramadhaan/