Swali: Mwanamke amemnyonyesha mtoto mara moja kwa mwezi mpaka idadi ya unyonyeshaji ikatimia mara tano. Je, anazingatiwa ni kutakasa baada ya ule unyonyeshaji wa mara ya tano?
Jibu: Ndio. Muda wa kuwa yamefanyika ndani ya ile miaka miwili ya mwanzo, wanazingatiwa imetakasa hata kama yametokea katika nyakati mbalimbali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 11/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)