Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kwenda kwenye kaburi la baba yake kumtembelea na wakati wa kumuombea du´aa ananyanyua mikono yake pembezoni mwa kaburi na huku ameelekea Qiblah?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo. Ni sawa kunyanyua mikono wakati wa kumuombea du´aa kwa kuwa kufanya hivi ni miongoni mwa sababu za kuitikiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kwenda kwenye kaburi la baba yake kumtembelea na wakati wa kumuombea du´aa ananyanyua mikono yake pembezoni mwa kaburi na huku ameelekea Qiblah?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo. Ni sawa kunyanyua mikono wakati wa kumuombea du´aa kwa kuwa kufanya hivi ni miongoni mwa sababu za kuitikiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-wakati-wa-kumuombea-maiti-kaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)