Swali: Baadhi ya watu wanapoingia Msikitini baada ya adhaana wananuia I´tikaaf baina ya adhaana na Iqaamah. Je, wanapata kufanya hivo?
Jibu: Hili ni jambo ambalo halikuthibiti kutokana na ninavyojua. Haikuthibiti ya kwamba mtu anapoenda kuswali ananuia kukaa I´tikaaf. Hata kama wanachuoni wa Fiqh wamesema kitu kama hichi, kama ilivyo katika Sharh Zaad na Sharh-ul-Muntahaa. Wanasema inatakikana akiingia Msikitini anuie I´tikaaf. Jambo hili hatujaona dalili yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket