Swali: Je, kuna haki inaomuwajibikia mtu juu ya mali yake kwa isiyokuwa zakaah iliyofaradhishwa?
Jibu: Ndio, ziko haki mbalimbali. Haki sio moja tu. Miongoni mwa haki za wajibu ni kumhudumia mgeni, watoto, mke, ndugu na aliyepatwa na dhiki.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24265/هل-في-المال-حق-غير-الزكاة
- Imechapishwa: 20/09/2024
Swali: Je, kuna haki inaomuwajibikia mtu juu ya mali yake kwa isiyokuwa zakaah iliyofaradhishwa?
Jibu: Ndio, ziko haki mbalimbali. Haki sio moja tu. Miongoni mwa haki za wajibu ni kumhudumia mgeni, watoto, mke, ndugu na aliyepatwa na dhiki.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24265/هل-في-المال-حق-غير-الزكاة
Imechapishwa: 20/09/2024
https://firqatunnajia.com/kuna-yanayompasa-mtu-katika-mali-yake-zaidi-ya-zakaah/