Swali: Katika kila sujuud ya swalah ya faradhi namwombea du´aa baba yangu. Je, inafaa kuendelea kufanya umaalum huu?
Jibu: Ndio, inafaa. Unalipwa thawabu – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 27/07/2024
Swali: Katika kila sujuud ya swalah ya faradhi namwombea du´aa baba yangu. Je, inafaa kuendelea kufanya umaalum huu?
Jibu: Ndio, inafaa. Unalipwa thawabu – Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 27/07/2024
https://firqatunnajia.com/kumwombea-duaa-baba-katika-kila-sujuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)