Swali: Je, Iqaamah ni kama adhaana kwa maana ya kwamba mtu anatakiwa kusema kama anavosema muadhini?
Jibu: Iqaamah ni kama adhaana. Ni adhaana ya pili. Lakini wakati wa kukimu mwitikiaji aseme (قد قامت الصلاة) na wakati wa al-Haylah aseme ( لا حول ولا قوة إلا بالله). Sehemu hizi aseme kama anavosema mwenye kukimu. Bali anatakiwa kusema ( لا حول ولا قوة إلا بالله). Wakati wa kukimu aseme (قد قامت الصلاة). Imekuja katika baadhi ya Hadiyth kwamba mwitikiaji aseme:
أقامها وأدامها
“Ameisimamisha na kuitekeleza.”
Hata hivyo ni dhaifu. Maoni ya sawa ni kwamba mwitikiaji aseme (قد قامت الصلاة) kama anavosema muadhini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22499/هل-يردد-في-الاقامة-مثل-ما-يردد-في-الاذان
- Imechapishwa: 04/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)