Swali: Kumwelekeza mnyama Qiblah wakati wa kuchinja ni sharti ili mnyama awe halali au inatosheleza tu kutaja jina la Allaah?
Jibu: Hapana, sio sharti. Ni Sunnah. Kumwelekeza Qiblah ni Sunnah kwa sababu kuchinja ni ´ibaadah na ´ibaadah zinatekelezwa kwa kuelekeza Qiblah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Kumwelekeza mnyama Qiblah wakati wa kuchinja ni sharti ili mnyama awe halali au inatosheleza tu kutaja jina la Allaah?
Jibu: Hapana, sio sharti. Ni Sunnah. Kumwelekeza Qiblah ni Sunnah kwa sababu kuchinja ni ´ibaadah na ´ibaadah zinatekelezwa kwa kuelekeza Qiblah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20%20-%203-11-%201436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kumwelekeza-mnyama-qiblah-wakati-wa-kuchinja/